Katika ujumbe wake huo producer #S2kizzy ameeleza kushukuru kwa kufanya wimbo huo kuupeleka muziki wa afrika mashariki duniani, huku akigusia ujio wa collabo ya kimataifa kati ya @maluma ft @rayvanny #MamaTetema ambayo ni sehemu ya Remix ya wimbo wa tetema.
New
Producer s2kizzy Atoa Shukrani Kwa Diamond na Rayvanny Kwa Kumwamini na Kufanya Tetema Wimbo wa Dunia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment