Mradi wa Nyumba 1000 Dodoma ni Shilingi Bilioni 71 - EDUSPORTSTZ

Latest

Mradi wa Nyumba 1000 Dodoma ni Shilingi Bilioni 71




“Mradi huu mkubwa unaohusisha ujenzi wa nyumba za makazi 1000 katika Jiji la Dodoma utagharimu Shilingi bilioni 71 hadi kukamilika.

“Awamu ya kwanza yenye nyumba 404 itagharimu shilingi bilioni 21.4 na kazi kubwa ya ujenzi itakuwa imekalika ifikapo Desemba 2021.

“Wakurugenzi wa Halmashauri hususan halmashauri mpya tumieni Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na Watumishi Housing ili waweze kuharakisha ujenzi wa nyumba bora za watumishi wa Halmashauri kwa gharama nafuu.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizindua ujenzi wa nyumba 1000 jijini Dodoma chini ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), leo




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz