Wizkid Ametumbuiza Jukwaa Moja na Justin Bieber - EDUSPORTSTZ

Latest

Wizkid Ametumbuiza Jukwaa Moja na Justin Bieber


Wizkid ametumbuiza Jukwaa moja na Justin Bieber kwenye tamasha la Made In America lililofanyika wikendi iliyomalizika mjini Philadelphia nchini Marekani. Wakali hao waliuchapa kwa pamoja wimbo wao "Essence Remix" kwa mara ya kwanza.

Wizkid alikuwa mtumbuizaji mualikwa wa JB kwenye onesho hilo, ni muendelezo wa maajabu ambayo kila uchwao amekuwa akiyafanya kupitia album yake 'Made In Lagos' lakini hasa kupitia wimbo wake #ESSENCE ambao unasumbua kwenye chart za Billboard Hot 100.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz