Wanamitandao Walaani Mwanamuziki Bahati Vikali kwa 'Kukejeli' Mungu



Mwanamuziki mashuhuri nchini Kelvin Kioko almaarufu kama Bahati amejipata pabaya mitandaoni baada ya kupakia video inayomuonyesha akijiburudisha na kuiambatanisha na ujumbe ambao wanamitando wengi wamehisi kwamba hauambatani kabisa na anachokifanya kwa video

Kwenye video hiyo ambayo amepakia kwenye ukurasa wake wa Instagram, Bahati anaonekana akivuta sigara inayowekwa kwa chupa maarufu kama 'Vape' huku akipiga densi kana kwamba anasherehekea. Kwa wakati huo mwanamuziki huyo ambaye tayari ametangaza kwamba amegura injili anaoekana akiwa amevalia mavazi ya kiarabu


0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post