Rais Samia Amwaga Ajira Mpya za Askari 2300 kwa vyombo vya Usalama vya Wizara ya Mambo ya ndani - EDUSPORTSTZ

Latest

Rais Samia Amwaga Ajira Mpya za Askari 2300 kwa vyombo vya Usalama vya Wizara ya Mambo ya ndani



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na viongozi wakuu wa utawala wa Vyombo vya Usalama vilivyopo chini ya Wizara yake, wakati alipokuwa akimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ajira mpya za askari 2,300 kwa Vyombo hivyo, jijini Dodoma, leo Septemba 24, 2021. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (meza kuu) akimsikiliza Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Lulu Zodo alipokuwa akizungumza katika kikao chake na viongozi wakuu wa utawala wa Vyombo vya Usalama vilivyopo chini ya Wizara yake, wakati alipokuwa akimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ajira mpya za askari 2,300 kwa Vyombo hivyo, jijini Dodoma, leo Septemba 24, 2021. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz