Kesi ya watu watano wanaotuhumiwa kupanga na kusaidia katika mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001, imeanza tena Jumanne kwa kusikilizwa kwa hoja za awali baada ya kusitishwa kwa kipindi cha mwaka na nusu kwa sababu ya janga la corona.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily UpdatesCLICK HERE
No comments:
Post a Comment