Kesi ya washukiwa wa mashambulizi ya 9/11 yaanza tena - EDUSPORTSTZ

Latest

Kesi ya washukiwa wa mashambulizi ya 9/11 yaanza tena




Kesi ya watu watano wanaotuhumiwa kupanga na kusaidia katika mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001, imeanza tena Jumanne kwa kusikilizwa kwa hoja za awali baada ya kusitishwa kwa kipindi cha mwaka na nusu kwa sababu ya janga la corona.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz