Je, Mbwana Samatta Ameshuka Kiwango? - EDUSPORTSTZ

Latest

Je, Mbwana Samatta Ameshuka Kiwango?


Mbwana Samatta ametangazwa kujiunga na klabu ya Royal Antwerp ya Ubelgiji kwa mkopo akitokea Fenerbahçe S.K ya Uturuki. Safari yake hii imepokelewa kwa tafsiri tofauti.

@oscaroscarjr yeye anaamini kwamba Samatta anashuka lakini kushuka kwake anashuka akiwa amefanikiwa kwenye kile alichokipigania kwa upande mwingine @maestro_ibrahim anasema wakati akiwa Genk alipokea ofa nyingi za vilabu vingine pengine ingekuwa vyema angeanzia huko kabla ya kwenda kwenye ligi ya ushindani mkubwa.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz