Simba yamsajili Yusufu Mhilu - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba yamsajili Yusufu Mhilu





Nyota wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Yusufu Mhilu aliyekuwa kikosi cha kwanza kilikuwa kinashiriki Cecafa Challenge 2021 U 23.

Leo Agosti 4 ametangazwa rasmi kuwa mali ya Simba baada ya kufikia makubaliano na timu ya Simba.

Amepewa dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Didier Gomes. 





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz