Kumekucha..Wakurugenzi Watakao Shindwa Kwenda na Kasi ya Serikali Kukuona cha Moto - EDUSPORTSTZ

Latest

Kumekucha..Wakurugenzi Watakao Shindwa Kwenda na Kasi ya Serikali Kukuona cha Moto



Waziri wa OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema watapendekeza kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu Wakurugenzi ambao hawawezi kwenda na kasi ya Serikali yake

Asema watashauri Wakurugenzi watakaoshindwa kujenga Madarasa 500 ndani ya wiki mbili na Vituo vya #Afya zaidi ya 100 ndani ya mwezi mmoja wakae pembeni

Ameongeza kuwa, kazi yao sio kukaa ofisini bali kushirikiana na wananchi kuleta Maendeleo




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz