Kanye West Hatabiriki Kabisa.. Watu Wapigwa na Butwaa Baada ya Kumuondoa Jay Z Katika Album Yake na Kumuweka Huyu Mwanamuziki Mpya - EDUSPORTSTZ

Latest

Kanye West Hatabiriki Kabisa.. Watu Wapigwa na Butwaa Baada ya Kumuondoa Jay Z Katika Album Yake na Kumuweka Huyu Mwanamuziki Mpya


Siku Zote Rapa @kanyewest πŸ‡ΊπŸ‡² Huwa anafanya Vitu Anavyotaka Yeye πŸ˜„, Na Ameonekana Kuziondoa Verse Za #Jayz Kwenye Ngoma Aliomshirikisha Katika Album Yake Ya #DONDA

#Kanye Ameamua kumuweka Dababy Baada Ya Kutoa Verse Za #Hov (Jayz) Kwenye Ngoma Hiyo

Hii ni Baada ya Kufanya Listening Party Mjini Chicago Kwenye uwanja wa #Soldier Ambapo Mashabiki Walishtushwa Kwa Kumuona #Dababy Badala Ya Jigga

Hata hivyo Hadi Sasa bado Haijafahamika sababu za Rapa Huyu Kuondoa Verse Za Jayz Na Kumuweka #Dababy

Je, Unadhani Kwanini #KanyeWest Ameamua Kufanya Hivyo ??





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz