Baba Levo Amuonya Rayvanny Kuhusu kuoa "Usiwe Kama Umechanganyikiwa" - EDUSPORTSTZ

Latest

Baba Levo Amuonya Rayvanny Kuhusu kuoa "Usiwe Kama Umechanganyikiwa"



Msanii Baba Levo amemkatalia Rayvanny kuoa haraka kama mtu aliyechanganyikwa baada ya Rayvanny kuweka hisia zake za kufanikisha jambo hilo siku za hivi karibuni.

Kupitia Insta Story ya Rayvanny amezua gumzo baada ya kuandika kwamba hawezi kusubiri kuhusu suala la ndoa yake "I can't wait for my wedding"

Muda mfupi uliopita Baba Levo akamjibu kwenye ukurasa wake Instagram baada ya kupost picha ya Rayvanny kisha kuandika maneno yafuatayo.

"Dogo hapana kuoa haraka haraka kama mtu aliyechanganyikiwa, unakimbilia wapi tulia kwanza mdogo wangu".

Kwa sasa Rayvanny yupo kwenye mahusiano na Paulah ambaye ni mtoto wa staa wa filamu Kajala Masanja.





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz