Kufuatia kuungua moto Soko la kimatiafa la Kariakoo Jijini Dar es salaam, nchini Tanzania, Serikali imeunda tume kuchunguza chanzo cha moto huo ulioteketeza maduka zaidi ya mia nne yalioko katika jengo la Soko hilo maarufu.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily UpdatesCLICK HERE
No comments:
Post a Comment