TB Joshua kuzikwa leo Nigeria..Jeneza Lake Lawashangaza Wengi - EDUSPORTSTZ

Latest

TB Joshua kuzikwa leo Nigeria..Jeneza Lake Lawashangaza Wengi





Leo Ijumaa Julai 9, 2021 maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga mwili wa mhubiri maarufu duniani, Temitope Balogun Joshua maarufu TB Joshua anayezikwa leo nchini Nigeria.
TB Joshua alifariki dunia Jumamosi ya Juni 5, 2021 nchini humo akiwa na umri wa miaka 57. Ibada ya kuaga inafanyika katika kanisa Synagogue Church of All Nations (SCOAN) mjini Lagos.

Taratibu za mazishi yake zilianza kufanyika Jumatatu ikianza misa katika kanisa hilo na Jumanne waombolezaji walitoa heshima za mwisho. TB Joshua alijipatia umaarufu kutokana na kuponya watu wa mataifa mbalimbali na huduma yake kuwa maarufu duniani kote.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz