Baada ya Barua ya SIMBA Kuachana na Haji Manara Hivi Ndivyo Alivyoondoka Simba na Kusem Hili - EDUSPORTSTZ

Latest

Baada ya Barua ya SIMBA Kuachana na Haji Manara Hivi Ndivyo Alivyoondoka Simba na Kusem Hili


Haji Manara Ameandika Haya muda mchache baada ya Simba Kutoa Barua Kuwa wameachana nae:

Kila tunapomaliza Mechi yoyote ile ya Simba,neno langu la kwanza baada ya matokeo yoyote yale ni Alhamdulillah 

Kwa wanaofuatilia page hii wanatambua hilo.

Kwangu neno hili ndio Msamiati nnauotumia mara nyingi zaidi na hufanya hv kwa kila jambo ,liwe jema au baya

Yes neno langu ni moja tu

AL-HAMDULILLAH





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz