Wanaume Waliochelewa Kuoa Wana Msongo wa Mawazo Kuliko Wanawake - EDUSPORTSTZ

Latest

Wanaume Waliochelewa Kuoa Wana Msongo wa Mawazo Kuliko Wanawake


 Kuna utafiti nilikuwa nafanya baada ya kufwatilia baada ya kuona topic nyingi zinazowasema single mother's na wanawake waliofika miaka 30s bila kuolewa.


Nilichokigundua;

1. Wanawake waliochelewa kuolewa na na single mother wengi wana amani ya moyo kuliko wanaume waliochelewa kuowa na single dads ndomana awaishi kujaza JF topic za kuwazungumzia wanawake hiyo yote nikujipa moyo ili kupunguza maumivu.

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ (LITE VERSION)' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako Utasoma habari zote hata kama hauna MB

2. Wanaume wengi waliochelewa kuoa mpaka kufika miaka 35 na kuendelea wengi walitegemea kuchelewa kuoa kutawafanya wawe na pesa na maisha mazuri lakini imekuwa tofauti wengi wamefika umri huo wakiwa hawana kitu tofauti na wenzao waliooa mapema wana faraja ambayo ni watoto na wengine wamepata baraka maisha yamewanyookea,asila za kukosa vyote vinawatesa wanajikuta na asila muda wrote poleni kwa hilo.

3. Wanaume wengi waliochelewa kuoa wanatabia zisizovumilika bila kusahau maneno mengi bila vitendo ujuaji mwingi na dharau kwa wanawake wanasahau walizaliwa na mwanamke poleni, mwanamke yoyote anatakiwa kuheshimiwa.

NB; Jirekebisheni tabia njema si kwa mwanamke mtu hata mwanaume unatakiwa ujitambue labda ujitahidi uwe na mapesa kama Mengi ndo utapata mtoto mzuri wakutuliza moyo wako ukifika 40s maana huwa mnajipa moyo wanaume amzeeki.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz