Kuvaa Shanga Miguuni au Vikuku Kwa Mwanamke Kuna Maana Yoyote Mbaya? - EDUSPORTSTZ

Latest

Kuvaa Shanga Miguuni au Vikuku Kwa Mwanamke Kuna Maana Yoyote Mbaya?

Kuvaa Shanga Miguuni au Vikuku Kwa Mwanamke Kuna Maana Yoyote Mbaya?

Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu urembo huu wa kuvaa cheni za miguuni. Wengi wamekuwa wakisema kuwa cheni hizo zinamaanisha kwamba mvaaji anaonyesha kwamba yeye anaweza mapenzi ya kinyume na maumbile, au analika pande zote tetesi hizi zimeleta mchanganyiko kidogo kwenye urembo huu.

Watu wengine wamediriki hata kukataza kabisa wapenzi wao wasivae urembo huo, mimi binafsi siwezi kuongozana na mtu amevaa kitu kama hicho. Haya sasa kazi kwako mdau, wewe unaonaje ni sawa urembo huo kutumika, na je mwenza wako akivaa urembo huo, utaafiki?



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

Edusportstz