WANAUME KUNA VITU LAZIMA MVIELEWE KWA WAKE ZENU. - EDUSPORTSTZ

Latest

WANAUME KUNA VITU LAZIMA MVIELEWE KWA WAKE ZENU.


🔴Bibilia inasema MWANAMKE NI KIUMBE DHAIFU hapo hapo inasema MKAE NAO KWA AKILI. Na bado inasema MWANAMKE NI JESHI KUBWA
🔴SWALI
Walijifunza saa ngapi uwanajeshi na ili kudhibitisha kwamba ni mwanajeshi MUNGU anamtuma kwa mwanamme amlinde.
#Yeremia 31:22 .... Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani mwanamke atamlinda mwanamume.
KUMBUKENI HILI WABABA
🔴Mtu wa kwanza kukutana na SHETANI #live ni mwanamke pamoja na kwamba walizungumza mengi na #kula_tunda kiukweli hamjui mengi waliyozungumza mbali na kula tunda.
🔴MWANAMKE aliumbwa ukiwa usingizini wewe MWANAUME hujui ni kitu gani walichozungumza na MUNGU kabla ya wewe kuzinduka.
🔴MWANAMKE ndiye aliyemwelewa MUNGU alipoambiwa ana mimba ya ROHO MTAKATIFU wewe MWANAUME ulitaka kumkimbia badala ya kukabiliana na changamoto hiyo.
🔴MWANAMKE ndiye mtu wa kwanza kwenda kuhakikisha kama kweli YESU amefufuka na kusambaza habari.
🔴MWANAMKE ndiye anayeongoza kwa ushawishi mkubwa mwanaume huna ujanja mfano mzuri tazama hu u hapa
■Eva kwa Adamu
■Delila kwa Samson
■Ester kwa Ahasuero
■Raheli kwa Labani n.k
🔴Usimuudhi mke wako ana siri kubwa sana usione kakaa na wewe anakuvumilia pamoja na ukatili wako.
🔴Anaweza akatekeleza like ambacho walichozungumza na MUNGU au anaweza kutekeleza alichozungumza na shetani .
WAPENDENI WAKE ZENU ISHINI NAO KWA AKILI.ASIWEPO MWANAMKE AYAKAYEJUTA KWA KUKUPATA WEWE KUWA MWENZA WAKE.Mwanzo 2:8
Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
NANYI KINA MAMA WATIINI WAUME ZENU WAPENDENI WAJALINI,WAHESHI
MUNI WALINDENI WAOMBEENI
KWA MAANA HAKUNA MWANAMUME KATILI KWA MKE MYENYEKEVU.
MUNGU AWALINDE




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz