“Mistakes nne ambazo hutakiwi kuzifanya ukiwa kwenye mahusiano” - EDUSPORTSTZ

Latest

“Mistakes nne ambazo hutakiwi kuzifanya ukiwa kwenye mahusiano”

Related image

Kuishi na yeye bila ndoa

Hili ni kosa sitarudia katika maisha yangu. Mwanaume alinichukulia poa sana baada ya kuanza kuishi nae wakati hata nyumbani kwetu hawakua na habari.

Kumpa hela

Mwanaume nilihangaika kumtoa out na kumletea zawadi kila nilipoweza. Kumbe huku yeye anatumia hizo pesa akabweteka na hata kazini ameanza kuzembea mwishowe nikahisi ameacha.
Huyu mwanaume alifikia wakati akawa anatumia hizi pesa zangu kuhonga mtu mwingine.

Kumsamehe baada ya kusaliti

Jamaa alikuwa na uwezoo wa kunipa vitu vya kipekee. Siku niliyodundua anatoka na mtu mwingine niliumia sana. Lakini baada ya hasira kuisha na maombi mengi ya msamaha huku akiahidi hatarudia tena; mimi nilimkubalia.
Kumbe hakuna lolote ni maumivu tu.

Kupokea zawadi za ex wake


Kuna wakati alikuja na hereni nzuri sana, lakini akaniambia kwamba alikuwa amemnunuliaga ex wake na alitaka mimi nizichukue.
Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz