Kama ulikuwa hujui, Kufikia Kilele kwa mwanamke kuko hivi...!! - EDUSPORTSTZ

Latest

Kama ulikuwa hujui, Kufikia Kilele kwa mwanamke kuko hivi...!!

Matokeo ya picha ya mwanamke mtamu

Mambo mengi yanayohusu mwanamke yameandikwa na wanaume.Jambo hili limesababisha kuwepo na taarifa nyingi za kutia mashaka kuhusu mwanamke.Dr Marie Robinson ni mwanamke aliyeolewa.Katika utafiti wake juu ya mwanamke kufika kilele ktk tendo la ndoa anasema hivi
Kufika kilele ni ule muda ambao kushikamana kwa msuli na akili huzuka ghafla mpaka kufikia ambapo haiwezekani kwa mwili kuvumilia.
Huku mwanaume akiendelea kusukuma kwa nguvu hali ya raha ya mwanamke huongezeka sambamba na msukumo wa kiuno cha mwanamke.
Mwanamke hujikaza kupita kiasi,mpaka pale ambapo huona haiwezekani kuendelea,,maana wakati huo tayari mwili mzima hutikiswa kwa mawimbi ya furaha.


Hapo mwanamke huonekana usoni,mikononi,miguuni,ktk kiwiliwili na ndani kabisa ya nyayo za miguu.


Hayo yote humfanya mwanamke bila kujijua anafanya nini au anatamka nini,kichwa chake hurudishwa nyuma,na sehemu ya chini huinuka juu katika juhudi za yeye kutaka aingiwe zaidi na zaidi.Ikifika hatua hii wanawake hutofautiana,wengine hutumia dk 1,2 au 3 Na habari njema ambayo mwanamke angependa kuisikia ni kumwona mwanaume akiongeza juhudi na juhudi,ili amfikishe zaidi na zaidi ili anapohema kwa nguvu,kusukana kwa mapigo ya moyo na utoaji wa maji ktk tezi vibaki katika hali hii ambayo raha yake ni kufika kileleni kwa pamoja,hakuelezewi kwa maneno bali tabasamu angavu na shangwe za mwili kwa siku nzima inayofuata.

Si wanawake wote hulia au kupiga makelele wengine hujitokeza bila hata wao kujua wanafanya nini,wengine huwa kimya kabisa,wengine hukunja sura zao,wengine huongea lugha wasizozijua,wengine huelemewa na raha kiasi hububujikwa machozi pasipo kutoa sauti,,Lakini dalili kama jasho jembamba,kuhema kwa nguvu,uke kujifinya ili ubane uume,matiti na chuchu kuvimba n.k
Ni dalili ambazo huonekana kwa wengi,wanapofikia juu kabisa ya kilele wakati wa tendo la ndoa.


MWANAUME
Mjali mwenzako,hakikisha unamsaidia mwenzi wako kupanda mlima huu mrefu kuliko yote duniani.Kutoa mbegu tu na kugeukia upande wako ni ubinafsi! Fanya kazi kwa moyo,na maarifa
Uhusiano utadumu kupita milele.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz