JIAHIDI MWENYEWE: - EDUSPORTSTZ

Latest

JIAHIDI MWENYEWE:

UKITAKA MAPENZI YASIKUUMIZE FANYA HIVI | Muhabarishaji
Usiishi maisha ya kila mmoja umwambie vile unaumia juu ya Mapenzi, kwamba kuwa imara kiasi kwamba hakuna kitakachosumbua amani yako ya kwamba ULIISHAUMIZWA NA UNAHITAJIKA KUYAONDOKA MAISHA HAYO YA MATESO... Kuongea kwa AFYA kunatokana na jinsi ambavyo umeweza kumuondoka anayekutesa, Furaha iliyo kimaendeleo kwa kila mtu unaekutana nae inatokana na ukakamavu wako na JINSI ambavyo unaweza kukubari kwamba ULIYOPITIA YAMEKUJENGA! Kuwafanya marafiki zako wote kuhisi kuna kitu ndani yako ni kosa sana maana bin adam wanatabia ya kufurahia magumu ya wenzao, Kuangalia upande ng'aavu wa kila kitu na kuyafanya mashaka yako kuwa kweli kunakupa njia ya kuchagua kwa usahihi huko uendako, Kufikiria yaliyo bora tu yatakunyima kupata UTAMBUZI wa nyakati utakazokuwa unadanganya, kufanyia kazi yaliyo bora utajikuta unashindwa kujifunza kwa ULIYOPITIA! na kutegemea yaliyo bora tu utajitenga na kujifunza kwa mabaya ambayo ulisababisha mwenyewe, Kufurahia kuhusu mafanikio ya wenzako kama yako ni kujisahaulisha ya Kusahau makosa ya nyuma na kuweka mafanikio makubwa zaidi ya mbeleni. Kuvaa uchangamfu mda wote na kukipa kila kiumbe kinachoishi tabasamu kila unapokutana nacho ni busara maana unajitenga na msongo wa MAWAZO yasokupa taswira ya kuendelea, Kutoa mda mwingi kwa maendeleo yako binafsi na kwamba hauna mda wa kuwapinga wengine ni kuiruhusu akili yako iweze kupambania mateso yako, Kuwa mkubwa zaidi ya mashaka, mpole zaidi ya hasira, kuwa imara zaidi ya uoga, kuwa na furaha ili kuruhusu uwepo wa matatizo. Kujifikiria vizuri binafsi na kudhihirishia uhalisia huu kwa dunia, sio kwa maneno ya sauti ila kwa matendo makubwa. Kuishi kwa imani mpaka kwamba dunia yote iko upande wako ilihali kwamba wewe ni mkweli kwenye ubora uliopo ndani yako hivyo USIKUBARI KURUDISHWA NYUMA kwani kuja kuanza ni GHARAMA KUBWA.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz