Dada Tulia uolewe sasa miaka hairud nyuma. Wachawi wako ni hawa ndugu zako - EDUSPORTSTZ

Latest

Dada Tulia uolewe sasa miaka hairud nyuma. Wachawi wako ni hawa ndugu zako



Huyu dada ana miaka 32 kwa sasa kama tungekuwa tunaangalia saa kwa njia za kale tungesema sasa ni jioni kwake. Ana sura nzuri na umbo zuri pia.

Shida kubwa sasa amekuwa na hamu ya Kuolewa mpaka anaharibu sababu ya Kujirahisi yaani ukimzoea kidogo tu ukawa naye siku mbili tatu ukaomba issue anakupa. Ye anaamini akikupa na kukuonesha maujuzi haraka utatangaza ndoa. Ufundi wanasema anao si haba. Lakini wanaume wengi nadhan hawamwoni kama mke. Wanamwona zaidi kama ni mwanamke wa dharura.

Dada anavifaham viwanja vyote Dar na Mikoa Jirani. Ye ni wa kupost pich FB anakula Bata na Kunywa Machozi ya Simba kila wakati. Ukimwona ni mtu wa Kujirusha sana. Anasema kwa usiku anaweza tembelea Viwanja hata 10. Yaani anakunywa hapa kama vipi anahama anahamia pale napo akiona vipi anaondoka anelekea kule akina hajapenda anakuja huku.

Akija kazin Jumatatu amechoka kila sehem ya mwili. Na bado analalamika kuwa hapati mume. Najiuliza atapaje Mume kwa style hiyo?

Na umri nao unaenda anaelekea Usiku. Sasa anazunguka kwa waganga anadai amerogwa asiolewe. Lakini ukiangalia mfumo anaotumia kucheza katika maisha ni mfumo ambayo unakaribisha Mashambulizi kwake.

Huyu dada amejiroga mwenyewe. Mtu gani pombe yeye, kuachia kupigwa mabao yeye, Umjini mjini mwingi na maneno ya shombo.bado analalamika kuwa amerogwa.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz