1π». Pandikiza katika moyo wa mwenzako uwezo wa kujiamini na kukuamini. Nawe pia muamini na umfanye ajikubali.
πππππππ
2.π» Furaha yako katika ndoa haitegemei tu kuoana na mtu sahihi, bali wewe pia unatakiwa kuwa mtu sahihi.
ππππππ
3π». Usafi ni alama ya umaridadi na mahabba.
πππππππ
4π». Wakati fulani unatakiwa kuachana na baadhi ya mambo unayoyachukulia kuwa ni sehemu ya shakhsia yako, ili uweze kufurahia mambo unayoyapenda kutoka kwa mwenza wa maisha yako.
ππππππ
5.π» Mjali mwenza wa maisha yako kama unavyojijali. Mpendelee yale unayojipendelea.
ππππππ
6π». Ndoa inahitaji kupokea na kutoa... Tengenezeni mazoea ya kuelewana... Usiwe mbinafsi ukataka upewe zaidi ya unachotoa au kuchukua kila kitu bila kutoa chochote.
πππππππ
π»7. Mwanaume anataka mwanamke wa mfano anayeshughulikia mambo yote kwa umahiri, anayempa heshima, upendo na kumjali. Na mwanamke anataka mwanaume awe imara ambaye anaweza kumtegemea, kukidhi mahitahi yake na amhakikishie kwamba yeye ndiye mwanamke wa pekee na wa mwisho katika maisha yake yote.
πππππππ
8π». Usifanye haraka kumtuhumu mwenza wako kila linapotokea jambo, litazame jambo hilo kwa jicho la uadilifu bila papara.
πππππ
9π». Ishi leo, usiwaze mambo ya kesho ambayo haijakufikia... Ishi ndani ya mipaka ya uwezo wako.
πππππ
π»11. Utambue utukufu wa ndoa na kwamba ndoa ni mafungamano mazito. Fikiria mara elfu kabla hujachukua hatua ambayo utaijutua. Siku zote majuto ni mjukuu.
π»π»π»π»π»π»π»π»π»π»π» π»π»π»π»π»π»π»π»
πππππππ
2.π» Furaha yako katika ndoa haitegemei tu kuoana na mtu sahihi, bali wewe pia unatakiwa kuwa mtu sahihi.
ππππππ
3π». Usafi ni alama ya umaridadi na mahabba.
πππππππ
4π». Wakati fulani unatakiwa kuachana na baadhi ya mambo unayoyachukulia kuwa ni sehemu ya shakhsia yako, ili uweze kufurahia mambo unayoyapenda kutoka kwa mwenza wa maisha yako.
ππππππ
5.π» Mjali mwenza wa maisha yako kama unavyojijali. Mpendelee yale unayojipendelea.
ππππππ
6π». Ndoa inahitaji kupokea na kutoa... Tengenezeni mazoea ya kuelewana... Usiwe mbinafsi ukataka upewe zaidi ya unachotoa au kuchukua kila kitu bila kutoa chochote.
πππππππ
π»7. Mwanaume anataka mwanamke wa mfano anayeshughulikia mambo yote kwa umahiri, anayempa heshima, upendo na kumjali. Na mwanamke anataka mwanaume awe imara ambaye anaweza kumtegemea, kukidhi mahitahi yake na amhakikishie kwamba yeye ndiye mwanamke wa pekee na wa mwisho katika maisha yake yote.
πππππππ
8π». Usifanye haraka kumtuhumu mwenza wako kila linapotokea jambo, litazame jambo hilo kwa jicho la uadilifu bila papara.
πππππ
9π». Ishi leo, usiwaze mambo ya kesho ambayo haijakufikia... Ishi ndani ya mipaka ya uwezo wako.
πππππ
π»11. Utambue utukufu wa ndoa na kwamba ndoa ni mafungamano mazito. Fikiria mara elfu kabla hujachukua hatua ambayo utaijutua. Siku zote majuto ni mjukuu.
π»π»π»π»π»π»π»π»π»π»π» π»π»π»π»π»π»π»π»
No comments:
Post a Comment