💝NITAJUAJE KAMA MWANAMKE WANGU ANAKARIBIA KUFIKA KILELENIIIIII💝 HAYA SOMA HAPA - EDUSPORTSTZ

Latest

💝NITAJUAJE KAMA MWANAMKE WANGU ANAKARIBIA KUFIKA KILELENIIIIII💝 HAYA SOMA HAPA


Zijue dalili za kufika kileleni kwa mwanamke nitazungumzia mwanamke na kwa mwanaume ndani yake
Imezoeleka wanaume wengi ndio wanawahi na pia ndio wengi huridhika na tendo hii inatokana na sababu nyingi moja ya sababu ni fake orgasm ya wake hii humpelekea mwanaume afike kileleni haraka.
1:🌹KU-HEMA KWA HARAKA HARAKA🌹
Hii hutokea kwa wote wanaume na kwa wanawake kadiri ya tendo linavyonoga pumzi hujikuta mnahema haraka haraka na speed ya tendo kupamp inaongezeka
Kama ni mauno hapo ndio hunoga sana na kuhema haraka haraka
2:🌹  MISULI YA K MWANAMKE KUBANA🌹
(MISULI YA K KUBANA ) hapa niseme wakati mwanamke anakaribia kufika kileleni uke hubana na kutokana na misuli ya uke kubana wewe mwanaume utagundua wakati dhakari yako iko ndani ya uke wa mkeo hapo jua umefanikiwa kumridhisha mkeo sio unadanganyika na sauti kisha unajion umemfikisha loooh unadanganywa babu weweeeee sauti si kigezoo
3: 🌹KUBADILIKA KWA SAUTI IKIFUATANA NA BODY LANGUAGE🌹
Hapa nisseme kitu kidogo siku zote mnapokuwa katika unyumba mke na mume kuna sauti ya kupanda na kushuka nene na nyembamba mara ooh aiiiih nyingine ni sauti fake kukusababisha mwanaume uwahi kufika kileleni sauti halisi huambatana na body language mfano utasikiaa aiiigh mumewangu ongezaaa hukua kijinyonga nyonga na kujikunja kunja hata kukunja mashuka na kukukumbatia kwa nguvuuuu
4:🌹CHANGE OF BODYLANGUAGE AND SPEED🌹
kwa mwanaume speed ya kumkoleza mke huongezeka mara dufu na sauti hubadilika kufuatana na upumuaji pia kwa mwanamke hukukumbatia kwa nguvu sana mara nyingine hata kukung'ata au kukukwaruza kwa kucha kama anazoo au kukunjakunja shukaa na kujinyonganyogaa huku akilalamika
5: 🌹KUKOJOA 🌹
Dalili nyingine ya kufika kileleni ni kukojoa kwa mwanamke ifahamike kuwa mwanamke anako-joa wakati wa kujamiiana na mume ila huu sio mkojo wa kawaida haya ni maji yanayo toka mara baada ya kusuguliwa kwa kipele G (g+spot) ili kujua unatakiwa ukojoe kabla ya tendo hapo ndio utaona raha ya tendo la ndoa nawe mume akikwambia nataka kukojoa mwambie koj-oa tuuu mummy na huu mk-ojo au bao halizuiliki huja automatic kojooooo.
Misuli ya uke hukaza kwa sekunde kadhaa na kuachia kitendo hiki mume utakifeel wakati uume wako ukiwa ndani ya uke wa mkeo kwa sekunde kadhaa kwa kubana na kuachia
6 :🌹CHU-CHU HUWA NGUMU 🌹
Mwanzon wa tendo chuchu hulegea lakini mwanamke anapokaribia kufika kileleni chuchu zake ukizigusa huwa ngumu hapo ujue anakaribia kufika kileleni.
💝 MADA KUTOKA MWANAMKE NDOA💝




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz