Mambo 10 ya kufanya kabla hujafikia miaka 28 - EDUSPORTSTZ

Latest

Mambo 10 ya kufanya kabla hujafikia miaka 28

Image may contain: 1 person
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha
2.Tafuta mpenzi sahihi na tulia nae
3. Acha kuishi na wazazi au kupanga nyumba na washikaji
4. Achana na starehe zisizo na maana
5. Jali sana afya yako
6. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo
7. Anza kununua asset kama vile ardhi, kitanda, vyombo vya nyumbani na n.k
8. Jifunze kuvaa kwa heshima na si tu suala la kupendeza
9. Acha mambo ya kitoto jisikie umekua mkubwa na mambo unayoyafanya yawe ya kiutu uzima
10. Zingatia sana muda wako.
Comment namba ulioipenda hapo juu.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz