MENEJA WA BAYERN MUNICH ATOA HATIMA YA RODRIGUEZ - EDUSPORTSTZ

Latest

MENEJA WA BAYERN MUNICH ATOA HATIMA YA RODRIGUEZ


Meneja wa Bayern Munich, Niko Kovac, amesema wazi kwamba klabu hiyo haina nia ya kukata mkataba wa miaka miwili kwa James Rodriguez, hivyo tiari amempa mkono wa kwaeli kurudi Real Madrid.
Meneja wa Bayern Munich aeleza kuhusu hatima ya james rodriguez pichani
Meneja wa Bayern Munich, Niko Kovac, amesema wazi kwamba klabu hiyo haina nia ya kukata mkataba wa miaka miwili kwa James Rodriguez, hivyo tiari amempa mkono wa kwaeli kurudi Real Madrid.

Mpango huo ulikuwa na chaguo la ununuzi kwa mwaka 2019.

Rodriguez anakwenda kustawi zaidi katika uwanja wa Allianz, na kuwa  wale wa Santiago Bernabeu wanatamani kumrudisha Hispania.
SOMA ZAIDI.......MOURINHO AMFUNGUKIA POGBA

Meneja wa Bayern Munich, Kovac aliwaambia waandishi wa habari alipoulizwa tena juu ya hatima ya James: "Ninajua tu kuwa tunao mpango wa mkopo ambao ni  halali juu yake.

Meneja wa Bayern Munich, ameendelea kusema "itafamika kama tutakaa naye kwa muda mrefu au ikiwa tutachukua chaguo  kudumu itafahamika pia. 


Alimalizia kwa kusema "tunajua pia kuna uvumi mwingi  unaendele katika vyombo vya habari."


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz