KWA VIGINGI HIVI KAKAMEGA AJIPANGE! - EDUSPORTSTZ

Latest

KWA VIGINGI HIVI KAKAMEGA AJIPANGE!


Kakamega homeboys


Na mwandishi wetu Edusportstz habari

Kesho tarehe 7june kutakuwa na mtanange wa kukatana shoka kati ya Simba sports club toka Tanzania  na kakamega homeboys toka nchini Kenya. Hata hivyo mchezo huu unatarajiwa kuwa mgumu kwa pande zote mbili kutokana mambo yafuatayo

Simba atataka kuionesha kakamega homeboys kuwa  wao ni wapinzani wakweli na homeboys walimbahatisha tu yanga kwakuwa yanga ni kibonde wao. Lakini pia Simba atataka kumuonyesha kwamba ana uwezo wakubeba makombe ndani na nje ya Tanzania.Lakini pia Simba itatka kumuonyesha Yanga kuwa wao wanao uwezo wakumpiga Yanga akiwa nyumbani na kumpiga mbaka mbabe wake (kakamega homeboys) yaani hawabahatishi.

Ugumu mwingine ni kwamba Homeboys hatakuwa tayar kuachia kombe lije Tanzania atajitahidi kutumia kila mbinu ili walibakize timu nchini kwao Kenya.Lakini pia Kakamega Homeboys watataka kuutumia  uzoefu walionao katika viwanja vya nyumbani kwao yaani Kenya

SWALI KWAKO MSOMAJI WAKO NANI ATAINGIA FAINALI SIMBA KAKAMEGA HOMEBOYS?

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz