RASMI YANGA KUTOSHIRIKI KAGAME SABABU HII HAPA - EDUSPORTSTZ

Latest

RASMI YANGA KUTOSHIRIKI KAGAME SABABU HII HAPA


klabu ya yanga ambayo haikuwa na msimu mzuri wa ligi pamoja na mashindano aliyoshiriki mwaka huu, kumekuwepo na taarifa kwamba wanakwenda kwenye mkutano mkuu ambao baadhi yao wanauita wa mabadiliko kwa klabu hiyo.

mapema wiki hii kulitoka ratiba ya michuano iliyopo chini ya cecafa ikishirikisha timu kutoka afrika mashariki na kati ambapo yanga alikuwa kwenye kundi moja na mtani wake simba.

Leo kumetoka taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari kwamba yanga haitashiriki michuano hiyo kwa sababu mbalimbali.

Sababu hizo ni timu kuwa katika mashindano mengi na wachezaji kukosa muda wa kupumzika, baadhi ya nyota wake kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu sababu ya majeraha, Kuipa timu nguvu kuangalia zaidi mashindano ya CAF confederation.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz