MSWALI MUHIMU YA MASHABIKI WA YANGA KWA KARIA - EDUSPORTSTZ

Latest

MSWALI MUHIMU YA MASHABIKI WA YANGA KWA KARIA


Baaada ya kuwepo kwa taarifa ya kwamba yanga hawatashiriki mashindano ya kagame cup ,raisi wa tff wallace karia amewapa timu ya yanga masaa 48 ya kujitakari na maamuzi yao hayo.

Edusporttz ilifafanya mahojiano na mashabiki wa yanga kadhaa na walitoa maoni kama ifuatavyo:-


 1. azam anaingia kama bingwa mtetezi ,simba bingwa wa nchi ,je yanga anaingia kama nani kwenye mashindano haya? kama mualikwa je hana haki yabkujitoa?

2.  Kwanini haya mashindano hayakuwepo kwenye ratiba ya tff ya mwaka?  kwa hiyo ni dhahiri yanga wanayo sababu

 3. Kama makundi ya kagame yapo matatu na timu kutoka bara zipo tatu kulikuwa na ulazima gani simba na yanga kuwa kundi moja? au kuna nn nyuma ya pazia?

4. yanga wametoa sababu ya kwamba wachezaji wengi wamepitia majeruhi ya muda mrefu halafu pia wana michuno ya shirikisho afrika kwanini karia unaipinga sababu hii wakati wewe ni raisi wa tff na haya yote ulikuwa unayaona?  halafu raisi wa tff unatoa majibu kwa kufananisha na rayon sports na gor mahia je wao wamepitia magumu kama ya yanga?

5. Wachezaji wa yanga hawakupata muda kabisa wa kupumzika kwenye ratiba ya mwisho ya ligi huku wakisafiri kila kukicha na wapangaji wa ratiba walikuwa tff hawaioni kama hii ni sababu pia ukizingatia wachezaji ni binadamu wanahitaji kupumzika?

6. Je yanga wakipeleka under 20 cecafa watakubali?

 7. kwani karia ndio raisi wa cecafa mpaka ailazimishe yanga kucheza michuano hiyo?? 

8. Mimi nilizani karia atakuja na vifungu vya kanuni na sheria vinavyowabana yana washiriki kagame cup mwaka huu


WENGI WANAHOJI KUNA NINI NYUMA YA PAZIA?
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz