ZARI AWEKA WAZI HISIA ZAKE KWA IVAN DON - EDUSPORTSTZ

Latest

ZARI AWEKA WAZI HISIA ZAKE KWA IVAN DON

Pichani; zari na marehemu don wakiwa na familia yao
Ikiwa mwaka mmoja sasa umepita tangu kifo cha alikuwa mume wa zarithebosslady na moja ya watu waliounda kundi la rich gang ivan don.

Kupitia ukurasa wake wa instagram zari ameweza kuweka hisia zake na kusema kwamba hii wiki itakuwa na kwa ajili ya kumuenzi ivan kwa kumkumbuka yale ambayo walishea wote wakiwa pamoja.

zari ambae aliweza kupata watoto watatu wa kiume na ivan kabla ya kukutana na diamond ambae pia amemzalia watoto wawili na kufanya jumla ya watoto watano.

zari amesema kuachana nae hakumfanyi asimkumbuke kwani hakuna ubaya wowote aliufanya kwake na bado ataendelea kuwa kwenye kumbukumbu ya maisha yake kwani walifanikiwa kuwa wote katika maisha.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz