MATUKIO KATIKA PICHA YA TOMASI ULIMWENGU AKISAINI MKATBA MPYA NA TIMU KUMBWA NCHINI SUDANI - EDUSPORTSTZ

Latest

MATUKIO KATIKA PICHA YA TOMASI ULIMWENGU AKISAINI MKATBA MPYA NA TIMU KUMBWA NCHINI SUDANI

Thomas Ulimwengu akisaini mkataba mpya na timu ya Al Hilal

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars aliyewahi kuvichezea vilabu vya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na club ya AFC Eskilstuna ya Sweden Thomas Ulimwengu baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu leo amepata timu.


Thomas Ulimwengu alikuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akiuguza jereha lake la goti na baada ya kupona alijiunga na AFC Eskilstuna ya Sweden na kupata jeraha tena la goti liloendelea kumuweka nje ya uwanja tena kwa muda mrefu.


Leo Thomas Ulimwengu ameripotiwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja na club ya Al Hilal ya Sudan, hiyo inakuja ikiwa zimepita siku chache toka zimalizike tetesi za kuwa alitaka kusaini club ya nchini Bosnia.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:

Delivered by EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz