TAARIFA RASMI YA MWANAFUNZI WA SAUT KUJINYONGA BAADA YA LIVERPOOL KUFUNGWA - EDUSPORTSTZ

Latest

TAARIFA RASMI YA MWANAFUNZI WA SAUT KUJINYONGA BAADA YA LIVERPOOL KUFUNGWA

Baada ya fainali kati ya liverpool dhidi ya Real madrid imeleta majonzi kwa wanafunzi wa SAUT tawi la mbeya baada ya mwanafunzi mmoja kujinyonga.

mwanafunzi huyo alifahamika kwa jina la MOSES MASHAKA katika kitivo cha Elimu amejinyonga baada ya kubeti na kumpa liverpool ashinde katika mechi hiyo.

Polisi wamethibitisha kifo cha chanzo cha habari hiyo kwamba kimetokana na mechi hiyo ambayo aliibetia


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz