SIMBA APELEKA KILIO KINGINE YANGA - EDUSPORTSTZ

Latest

SIMBA APELEKA KILIO KINGINE YANGA


Ikiwa timu za ligi kuu bara zikiwa zinajiandaa kwa msimu ujao kwa kufanya sajili mbalimbali.

Klabu ya simba tayari imeshawachukua wachezaji wawili ambapo mmoja ni adama salamba toka lipuli ambapo wiki kadhaa alihusishwa na mpango wa yanga kwenda kuisaidia katika michuano ya shirikisho Africa. lakini siku mbili nyuma mchezaji huyo alijiunga na simba.

Toka jana kumekuwa na tetesi ya kwamba  huenda PAPII TSHISHIMBI akajiunga na simba toka yanga baada ya kile kinachoelezwa kwamba huenda yanga na mchezaji huyo mkataba wake umevunjwa.

Simba anajiandaa na mashindano ya Champions ligi Afrika msimu ujao pengine ikawa ni sehem ya maandalizi hayo.

PAPII katika msimu wake wa kwanza Vpl amekuwa katika kiwango bora licha ya klabu yake kufanya vibaya pia amekuwa kipenzi cha mashabiki wengi wa mpira wa miguu nchini kutokana na ubora huo



EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz