ALICHOSEMA MASAU BWIRE BAADA YA SARE YA 2-2 NA YANGA - EDUSPORTSTZ

Latest

ALICHOSEMA MASAU BWIRE BAADA YA SARE YA 2-2 NA YANGA

Masau Bwire


Msemaji wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema walikuwa na asilimia mia ya kuifunga Yanga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, lakini waliwaonea huruma kwa kuwa wako katika matatizo.


Yanga wamepata sare ya bao 2-2 dhidi ya Shooting katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara.




“Pale Jangwani kuna shida, kuna matatizo na mambo si mazuri. Tulipaswa kuwa na huruma.


“Tulifuata maandiko ya Mungu, anasisitiza huruma. Kama si hivyo, tungewapapaa Yanga kama ambavyo tulikuwa tumeahidi,” alisema.


Yanga inawania kupata nafasi ya pili ya Ligi Kuu Bara na inakwenda kukutana na Azam FC katika mechi ya mwisho.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz