TETESI ZA SOKA LEO APRIL 6, 2018 - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI ZA SOKA LEO APRIL 6, 2018


Emre Can

Aliyekuwa mshambulizi wa Liverpool atakuwa mejea wa timu ya Feynoord ya chini ya miaka 19 msimu ujao. (mtandao wa Feynoord)

Kiungo wa Liverpool na Ujerumani Emre Can, 24, aweza kosa kucheza katika mdimu uliobakia na hata kombe la dunia kwa sababu ya tatizo la mgongo (Mirror)
William

Manchester United wanahakika ya kumsajili kiungo kutoka Brazil, Willian kwa paundi milioni 30,wakati kiungo Mhispania Juan Mata anatarajiwa kuondoka Old Trafford (Sun)

Kiungo wa Liverpool, Muuingereza James Milner amesema hata katisha ustaafu wake kutoka mechi za kimataifa. (Times)

Mick McCarthy

West Brom hawana mipango ya kumteua mkuu wa Ipswich, Mick McCarthy kama meneja wao baada ya kuondoka kwa Alan Pardew wiki iliyopita.(Express and Star)
Chris Coleman endured a frustrating afternoon on his return to the Cardiff City Stadium as his Sunderland side lost 4-0

Qatar itashiriki kama nchi mualikwa katika michuano ya Copa America 2019 (Globo Esporte)

Chris Coleman anasema atabaki kama meneja wa Sunderland hata kama Black Cats wakishushwa na kuwekwa League One. (Mail)
Thomas Tuchel

Msahmbulizi wa Watford Richarlison, 20, amehakikishwa nafasi yake katika Vicarage Road hata baada ya kuachwa kwa kushindwa kufunga goli yoyote katika michezo 21.(Mirror)

Aliyekuwa Menejwa wa Dortmund Thomas Tuchel atachukua nafasi ya Unai Emery kama mkuu wa Paris St-Germain kwenye msimu ujao. (ESPN)

Mshambulizi wa Stoke, Saido Berahino, 24, ametolewa kutoka kundi la kwanza kwenye timu baada ya kutokea akiwa amechelewa kwenye mechi ya chini ya miaka 23, siku ya Jumatatu (Telegraph)

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz