OFA YA CARLO ANCELOTTI KUFUNDISHA TIMU YAKE YA TAIFA YAANZA KUFIFIZA NDOTO ZAKE KUINOA ARSENAL - EDUSPORTSTZ

Latest

OFA YA CARLO ANCELOTTI KUFUNDISHA TIMU YAKE YA TAIFA YAANZA KUFIFIZA NDOTO ZAKE KUINOA ARSENAL

Carlo Ancelotti

Miongoni mwa makocha wakubwa Katika tasnia ya kabumbu waliokuwa wakipewa nafasi ya kurithi mikoba ya Arsene Wenger kocha aliye dumu Sana na  klabu ya Arsenal Carlo Ancelotti amepewa ofa ya kufundisha timu ya taifa lake la kuzaliwa la Italia.

Kocha huyo "Ancelotti" ni miongoni mwake makocha wa zamani Katika timu za AC Milan, PSG, Chelsea na Real Madrid. 

Ancelotti alikaririwa akisema kwamba kuhusishwa kwake na Arsenal ni jambo ambalo linamfurahisha na baadhi ya mashabiki wa Arsenal walikuwa wanampigia kampeni apewe majukumu katika klabu yao. 

Mamilion ya mashabiki na wapenzi wasoka duniani wanasuburiwa kuona kocha Ancelotti kama ataamua kubeba majukumu ya Italia au asubiri ofa ya Arsenal.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz