BADNEWS- MAMA MZAZI WA LADY JAYDEE AFARIKI DUNIA - EDUSPORTSTZ

Latest

BADNEWS- MAMA MZAZI WA LADY JAYDEE AFARIKI DUNIA

msanii wa muziki wa bongo fleva Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee

Mama mzazi wa msanii wa muziki wa bongo fleva Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee, Bi. Martha Mbibo, amefariki dunia alfajiri ya leo .

Akithibitisha taarifa hizo kaka wa Lady Jaydee ambaye pia ni msanii Dabo, amesema kwamba mama yao amefariki akiwa nyumbani kwake baada ya kuugua saratani kwa muda mrefu.

Dabo amesema msiba upo nyumbani kwa marehemu Jet jijini Dar es salaam, na familia itatoa utaratibu wa mazishi mara baada ya utaratibu wa kuupeleka mwili msanii wa muziki wa bongo fleva Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee kuhifadhiwa kukamilika.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:

Delivered by EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz