|
Kikosi cha timu ya yanga |
Kombe la Shirikisho makundi yamepangwa kufuatana na matokeo ya timu 32 ambazo timu hizo zimecheza katika miaka mitano iliyopita na michezo hiyo itapigwa tarebe 6,7 mwezi wa nne na mechi za marudiano ni tarehe 17 na 18 mwezi wa nne mwaka huu.
Klabu ya Yanga imepangwa na Wolaitta Dicha SC ya Ethiopia.
|
Ratiba ya Kombe la shirikisho |
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au
kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Subscribe to EDUSPORTSTZ
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment