KOCHA SOUTHAMPTON AACHISHWA KAZI - EDUSPORTSTZ

Latest

KOCHA SOUTHAMPTON AACHISHWA KAZI



Klabu ya Southampton imetangaza kumsimamisha Kocha wake, Mauricio Pellegrino, kutokana na matokeo yasiyoridhisha msimu huu.

Southampton imeshinda mchezo mmoja pekee kati ya 17 zilizopita huku ikipata kichapo cha mabao 3-0 dhidi ya Newcastle United Jumamosi iliyopita.

Katika msimamo wa ligi, timu hiyo ipo nafasi ya 17 ikiwa na pointi 28 juu ya Cystal Palace iliyo na 27.

Pellegrino alitangazwa kuwa Kocha wa Southampton mwezi Julai 2017 akichukua nafasi ya Claude Puel.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz