YANGA WAKO TAYARI KUMMINYA NJOMBE MJI - EDUSPORTSTZ

Latest

YANGA WAKO TAYARI KUMMINYA NJOMBE MJI

Image result for YANGA NA NJOMBE MJI
Kikosi cha Yanga, kimeeleza kipo tayari kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Njombe Mji jijini Dar es Salaam, leo.
Mechi hiyo itakuwa ni ya pili ya Yanga katika mzunguko wa pili baada ya kuuanza vizuri kwa ushindi katika mechi ya kwanza dhidi ya Lipuli FC.

Kocha Msaidizi wa Yanga, Shadrack Nsajigwa amesema kikosi chake kimeendelea na maandalizi mara tu baada ya mechi dhidi ya Lipuli.


“Pamoja na kushinda, mechi inapoisha lazima kunakuwa na makosa ambayo tunayafanyia kazi na kuanza kazi nyingine upya.


“Hivyo tumeangalia tulipokosea na kufanya marekebisho na sasa tuko tayari kuendelea kupambana,” alisema.

Yanga imekuwa ikiandamwa na majeruha mfululizo katika kikosi chake ingawa imeendelea kupambana ikichuana na Azam FC na vinara Simba wanaoonekana kuwa na kasi kubwa.

NDG MSOMAJI WA EDUSPORTSTZ UNAKUMBUSHWA KUSUBSCRIBE NA KUFOLLOW WEB YETU PAMOJA NA MITANDAO YETU YA KIJAMII CHINI YA POSITI HII ILI KUTUMIWA UPDATES ZOTE ZA AJIRA, MICHEZO, HABARI, SCHOLARSHIPS PAMOJA NA MASTORI YA MASTAA NA VIONGOZI MBALIMBALI. EDUSPOTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI.
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati. BOFYA HAPA KUJIUNGA NA INNOVATION FURSA CHALLENGE http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO


EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz