USILOLIJUA KUHUSU JOHN BOCCO WA SIMBA - EDUSPORTSTZ

Latest

USILOLIJUA KUHUSU JOHN BOCCO WA SIMBA




Mshambuliaji wa Simba John Bocco leo Januari 28, 2018 amefunga magoli mawili dhidi ya Majimaji na kufikisha magoli saba (7) kwenye msimu huu wa ligi ambapo raundi ya kwanza imemalizika baada ya kila timu kucheza mechi 15.

Bocco hakuanza vyema msimu huu, lakini alipata majeraha mapema kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Simba vs Mtibwa Sugar na kushindwa kuendelea na mchezo, ni mchezo huo ambao pia alishuhudiwa Salim Mbonde akishindwa kuendelea na mchezo baada ya kupata majeraha ya goti.

Kwa sasa Bocco amekuwa yule aliyetarajiwa na watu wengi, endapo anakuwa fiti kwa asilimia 100 shughuli yake mabeki wanaifahamu, asipofunga atatoa assist.

Katika mechi za hivi karibuni Bocco amefunga magoli muhimu ambayo yaliamua baadhi ya mechi, (Tanzania Prisons 0-1 Simba, Ndanda 0-2 Simba, Simba 4-0 Majimaji) Bocco amefunga mabao matano katika mechi hizo ambazo Simba ilifunga magoli saba.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Azam ameungana na Obrey Chirwa (Yanga) Mohamed Rashidi (Tanzania Prisons) na Habib Kiombo (Mbao FC) wote wakiwa wamefunga magoli saba.
NDG MSOMAJI WA EDUSPORTSTZ UNAKUMBUSHWA KUSUBSCRIBE NA KUFOLLOW WEB YETU PAMOJA NA MITANDAO YETU YA KIJAMII CHINI YA POSITI HII ILI KUTUMIWA UPDATES ZOTE ZA AJIRA, MICHEZO, HABARI, SCHOLARSHIPS PAMOJA NA MASTORI YA MASTAA NA VIONGOZI MBALIMBALI. EDUSPOTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI.
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati. BOFYA HAPA KUJIUNGA NA INNOVATION FURSA CHALLENGE http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO

EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz