NAHODHA NA MCHEZAJI MKONGWE WA ENGLAND AMEFARIKI DUNIA - EDUSPORTSTZ

Latest

NAHODHA NA MCHEZAJI MKONGWE WA ENGLAND AMEFARIKI DUNIA


Jimmy Armfied mtanganzaji mkongwe


Mtangazaji na mchezaji mkongwe wa Uingereza mwenye heshima kubwa, Jimmy Armfield amefariki dunia akiwa ana umri wa miaka 82 baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani.

Pamoja na kuichezea mechi 569 Timu ya Blackpool enzi zake, pia alikuwa Nahodha wa England mara 15 katika mechi 43 alizochezea Simba Watatu.

Baada ya kuwa kocha wa timu za Leeds na Bolton, Armfield akahamia kwenye utangazaji na kujivunia heshima kubwa akiwa mchambuzi wa BBC Radio 5 Live. Na Familia yake imethibitisha kifo chake kilichotokea Trinity Hospice mapema asubuhi ya leo.


EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati. BOFYA HAPA KUJIUNGA NA INNOVATION FURSA CHALLENGE http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO


EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz