MSIMAMO NA MATOKEO YA MAKUNDI MAPINDUZI CAP 2017/2018 - EDUSPORTSTZ

Latest

MSIMAMO NA MATOKEO YA MAKUNDI MAPINDUZI CAP 2017/2018

Image result for MAPINDUZI CuP

Michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar imefikia kunako hatua nzuri kwani tayari kuja baadhi ya vilabu vinekwisha kukata tiketi ya kuonda katika mashindano hayo.



Msimamo kundi A. Jamhuri na Mwenge wameaga mashindano rasmi..Wawili kutinga nusu fainali. Nani kati ya Azam, URA na Simba?



Msimamo Kundi B: Mlandege, JKU, Taifa Jang’ombe na Zimamoto zimebakiza mechi moja tu.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO

EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz