KIKOSI BORA CHA MWAKA 2017 HIKI HAPA - EDUSPORTSTZ

Latest

KIKOSI BORA CHA MWAKA 2017 HIKI HAPA




Usiki wa jana kulikuwa na tuzo za mchezaji bora wa Afrika zilizofanyika mjink Accra nchini Ghana, mchezaji wa timu ya taifa ya Misri ambaye pia anakipiga Liverpool Mohamed Salah alinyakua tuzo hiyo.

Kama kawaida katika ugawaji wa tuzo hiyo kunakuwa na kikosi bora cha Afrika, ambapo kwa mwaka 2017 katika kikosi hicho golikipa ni mlinda mlango wa timu ya taifa ya Tunisia Aymen Mothlouthi.

Walinzi katika kikosi hicho ni Ali Mooloul wa timu ya taifa ya Tunisia, Eric Bailly anaichezea Ivory Coast na pia Manchester United, Ahmed Fathy wa timu ya taifa ya Misri na Achraf Benchark wa Morocco.

Viungo ni Mohamed Ounaje wa timu ya taifa ya Morocco ambaye pia anakipiga Wydad Casablanca na Khalid Boutaib wa Tunisia huku washambuliaji wakiwa Mohamed Salah wa Misri, Juniour Ajayi wa Nigeria na Yassine Khenissi wa Tunisia.

Katika kikosi hiki maswali yamekuwa mengi haswa kutokana na kukosekana kwa majina makubwa kama Sadio Mane, Nabil Keita na Pierre Aubameyang ambao mwaka 2017 ulikuwa mwaka mzuri kwao.
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO

EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz