SOMA ALICHOPOST NAPE NNAUYE - EDUSPORTSTZ

Latest

SOMA ALICHOPOST NAPE NNAUYE


Hata Nape Aona Vyuma Vimekaza?

Mbunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya (CCM) Nape Nnauye amefunguka na kuandika jambo ambalo linawachanganya wananchi wengine wakihisi na kudhani amekubali kuwa kweli mtaani vyuma vimekaza huku wengine wakiwa na maana tofauti juu ya kauli hiyo.


Nape kupitia mtandao wake wa Instgram jana aliandika "Ni rahisi kuchukulia poa kwasababu kwako mambo yanaenda, lakini sio hata kidogo" jambo ambalo liliwafanya wananchi waanze kueleza hisia

Wiki kadhaa zilizopita Mbunge wa Mtama Mhe. Nape Nnauye alisema kuwa anachukizwa sana na kitendo cha watu kutafsiri kauli zake anazozitoa kwenye mitandao ya kijamii na kuzihusisha na kumsema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Maguifuli.
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz