OMOG AONDOKA RASMI KURUDI KWAO - EDUSPORTSTZ

Latest

OMOG AONDOKA RASMI KURUDI KWAO






Hatimaye Kocha Joseph Omog amemalizana na uongozi wa Simba na kuondoka nchini kurejea kwao Cameroon.


Omog ameondoka leo na ndege ya Shirikisho la Soka la Kenya kupitia Nairobi kwenda jijini Younde.


Kocha huyo alionekana ni mwenye furaha na baadhi ya mashabiki walikuwa wakimuaga na kumueleza kwamba watamkumbuka.



Muda mwingi Omog ambaye aliipa ubingwa wa Kombe la Shirikisho kabla ya kuvuliwa na kumleta matatizo, alionekana akiwajibu mashabiki hao kwa kuwapungia mkono na tabasamu.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO

EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz