MATOKEO YA YANGA DHIDI YA POLISI - EDUSPORTSTZ

Latest

MATOKEO YA YANGA DHIDI YA POLISI



Mechi kati ya Yanga dhidi ya Polisi Tanzania iliyopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salamaa, imeisha kwa sare ya bila bao.

Mechi hiyo ilikuwa nzuri na ya kuvutiwa iliyopigwa kwenye uwanja huo leo na Yohana Mkomola aliichezea Yanga kwa mara ya kwanza.

Pamoja na Mkomola, mashabiki wa Yanga walishuhudia washambuliaji wao wawili wa kimataifa, Amissi Tambwe raia wa Burundi na kiungo raia wa DR Congo, Papy Tshishimbi wakirejea uwanjani.









EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz