Jakaya Mrisho Kikwete ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo sasa ni zaidi ya miaka miwili toka amalize miaka yake kumi ya Urais.
Inaonekana J.K anapafurahia zaidi uraiani ambapo hii sio mara ya kwanza kwake kupost picha zake akiwa kwenye shughuli za kiraia mtaani.
Nyingine ambayo ameiandika saa kadhaa zilizopita baada ya kuweka hii picha ni >>> “Starehe ya kustaafu na kubakia kuwa raia mashuhuri ni kuweza kujifanyia mambo yako mwenyewe ikiwemo manunuzi ya mahitaji ya nyumbani”
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
No comments:
Post a Comment