Baada ya Majimaji kupata ushindi wake wa kwanza msimu huu kwa kuichapa Stand United 1-0, imepanda hadi nafasi ya 10 kutoka nafasi ya 14, huku simba ikiwa kileleni kwa point 16 sawa na yanga na ruvu fc ikiwa katika nafasi ya mwisho.
like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika
No comments:
Post a Comment