JULIO KUINGIA SOKONI KUNUNUA WACHEZAJI - EDUSPORTSTZ

Latest

JULIO KUINGIA SOKONI KUNUNUA WACHEZAJI








Itakapofika Novemba 15, mwaka huu ndipo dirisha dogo la usajili ndipo litakapofunguliwa, sasa Kocha wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema ni lazima asajili wachezaji wa kumfanyia kazi kwani waliopo hawatoshi.


Kwenye Kundi C la Ligi Daraja la Kwanza, Dodoma FC ipo kileleni na pointi 18 huku wakitakiwa kushinda mechi tano ili kujihakikishia kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao.


Julio amesema; “Lazima niongeze wachezaji wengine kwani kati ya wachezaji nilionao natakiwa kuwaongezea nguvu ili tupande ligi kuu.”


Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz