Shinda na SportPesa imezidi kupasua anga baada ya fundi ujenzi, Charles Lameck Chambua kuibuka na na Bajaj ya kisasa.
Chambua mwenye umri wa miaka 25 mkazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam ambaye ni fundi wa ujenzi ameibuka na ushindi baada ya kubashiri kupitia kampuni ya SportPesa inayoendesha shindano hilo.
Bajaj 100 zimepangwa kutolewa kwa washindi 100 na tayari washindi wameendelea kujizolea Bajaj hizo na kuwapagawisha waliokuwa hawaamini.
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
For Booking>>>
EMAIL: edusportstz@gmail.com
CALL>>>
Voda: +255757441463
JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI
No comments:
Post a Comment