FUNDI UJENZI HUYOOOO NA BAJAJI - EDUSPORTSTZ

Latest

FUNDI UJENZI HUYOOOO NA BAJAJI



Shinda na SportPesa imezidi kupasua anga baada ya fundi ujenzi, Charles Lameck Chambua kuibuka na na Bajaj ya kisasa.
Chambua mwenye umri wa miaka 25 mkazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam ambaye ni fundi wa ujenzi ameibuka na ushindi baada ya kubashiri kupitia kampuni ya SportPesa inayoendesha shindano hilo.


Bajaj 100 zimepangwa kutolewa kwa washindi 100 na tayari washindi wameendelea kujizolea Bajaj hizo na kuwapagawisha waliokuwa hawaamini.

Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno Propellerads

For Booking>>>



CALL>>>

Voda: +255757441463

JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI










Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz